Mshmabuliaji wa Nice, Mario Balotelli akienda nje baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kuvua jezi wakati anashangilia baada ya kuifungia timu yake bao la usindi zikiwa zimesalia dakika nne mchezo dhidi ya -Lorient kumalizika katika Ligue ! ya Ufaransa. Ricardo Pereira alianza kuifungia Nice dakika ya 11, kabla ya Benjamin Moukandjo kuwasawazishia wageni dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy legend Jude Bolton's TV star wife Lynette reveals cancer diagnosis as
she starts chemotherapy just before Christmas
-
Channel Seven's Lynette Bolton has opened up about her health battle,
revealing she has just started chemotherapy.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment