Kikosi kilichorejesha heshima Simba SC mwaka 1991 baada ya timu kuyumba mwishoni mwa miaka ya 1980 kiasi cha kukaribia kushuka Daraja. Kikosi hiki kilitwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati 1991 Dar es Salaam na huo ukawa mwanzo wa kupata Simba imara iliyotamba mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikiwa ni pamoja na kufika fainali ya Kombe la CAF 1993 na kutwaa mataji mfululizo ya Afrika Mashariki na Kati.
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment