Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Kibadeni (8) akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake Julai 19, mwaka 1977 katika mchezo wa Klabu Bingwa ya Taifa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Simba ilishinda 6-0, Kibadeni akifunga mabao matatu dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na Selemani Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment