Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akimtoka Aymeric Laporte wa Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Karim Benzema na Alvaro Morata, wakati la Bilbao lilifungwa na Sabin Merino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment