Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What is a vibration plate? This nifty exercise gadget can help with weight
loss and improve strength — and it's 58% off on Amazon
-
More than 3,000 Amazon shoppers just bought this "game-changer" exercise
machine.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment