Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Female darts star Beau Graves, 21, almost causes HUGE upset at World
Championship - as opponent Daryl Gurney tips her for stardom
-
Female darts star Beau Greaves almost caused an almighty upset against
Daryl Gurney at Alexandra Palace on Friday night.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment