Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FIFA reveal their team of the year with just THREE Premier League players
included while two England stars make cut ahead of next summer's World Cup
-
FIFA have named just three Premier League stars in their team of the year
as part of their Best Awards.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment