Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United midfielder Paul Ince compares Matheus Cunha to club
legend after Brazilian's stellar performance in thriller 4-4 draw with
Bournemouth
-
Cunha, signed in the summer for a fee of £62.5million from Wolves, enjoyed
arguably his best performance in a United shirt on Monday night in his
side's th...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment