Viungo Yaya Toure (kushoto) wa Manchester City akipambana na Alex Song wa West Ham United jana Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya City yote yalifungwa na Sergio Aguero la kwanza kwa penalti na lingine dakika za lala salama baada kuukuta mpira kwenye boksi, wakati ya West Ham pia yote yamefungwa na Enner Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United and Bournemouth draw 4-4 in Premier League thriller
-
Manchester United drew with Bournemouth 4-4 in one of the best games in the
Premier League on Monday. United coach Ruben Amorim said before the match
that ...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment