• HABARI MPYA

    Thursday, October 08, 2020

    EL-SHAARAWY AFUNGA MABAO MAWILI ITALIA YAICHAPA MOLDOVA 6-0


    Stephan El-Shaarawy akishangilia baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika ya 30 na 45 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Moldova kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi Jijini Florence. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Bryan Cristante dakika ya 18, Ciccio Caputo dakika ya 23, Veaceslav Posmac aliyejifunga dakika ya 37 na Domenico Berardi dakika ya 72
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EL-SHAARAWY AFUNGA MABAO MAWILI ITALIA YAICHAPA MOLDOVA 6-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top