Wachezaji wa Sevilla ya Hispania wakishangilia na taji la Europa League kwa mara nyingine tena baada ya kuifunga Inter Milan ya Italia mabao 3-2 kwenye fainali usiku wa jana Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Mabao ya Sevilla inayobeba taji la sita sasa yalifungwa na Luuk de Jong mawili dakika ya 12 na 33 na Romelu Lukaku aliyejifunga dakika ya 74 wakati ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku kwa penalti dakika ya tano na Diego Godin dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment