Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
LA Rams superstar's brother arrested for stealing LA Lakers player's car in
bizarre cross-sport crime bombshell
-
Cops were called to the One Hotel in Hollywood after the vehicle was
tracked there, per a report from NBC4 Investigates, and it was then found
that the sus...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment