Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment