Ousmane Dembele wa Barcelona akikosa bao la wazi yeye na kipa Roberto Santamaria wa Huesca kipindi cha kwanza leo Uwanja wa El Alcoraz mjini Huesca kwenye mchezo wa La Liga timu hizo zikitoka sara ya 0-0 huku kocha Ernesto Valverde akimuanzisha kipa Marc-Andre Ter Stegen pekee katika wachezaji wake wa kikosi cha kwanza na kuwapumzisha wengine wote akiwemo Lionel Messi kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Manchester United Jumanne Uwanja wa Camp Nau PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United midfielder Paul Ince compares Matheus Cunha to club
legend after Brazilian's stellar performance in thriller 4-4 draw with
Bournemouth
-
Cunha, signed in the summer for a fee of £62.5million from Wolves, enjoyed
arguably his best performance in a United shirt on Monday night in his
side's th...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment