Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 akimalizia krosi ya Henrikh Mkhitaryan katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Leicester City Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la United limefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Felt like humiliation' - Egypt reacts to Salah's Liverpool row
-
Mohamed Salah's Liverpool row felt like "humiliation" for Egyptian fans,
who are rallying behind their star man before the Africa Cup of Nations
begins.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment