Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ameegemea gari yake mpya aina ya Mercedez Benz Cla220 Cdi AMG Sport ya mwaka 2016 yenye thamani ya zadi ya Sh. Milioni 130 makao makuu ya klabu yake KRC Genk, Laminus Arena, Genk, Ubelgiji. Thamani ya gari hiyo inaweza kupanda hadi zaidi ya Milioni 200 iwapo ataamua kuileta Tanzania.
Watch sensational overhead kick as hosts Morocco secure nervy victory to
open AFCON
-
The 32-year-old scored an early Goal of the Tournament contender 16 minutes
from time, to put the shine on a 2-0 win in front of Crown Prince Moulay
Hassan...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment