Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Stoke City, Bruno Martins Indi (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya 69 kabla ya Joe Allen kuisawazishia Stoke dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Driver of backhoe loader bucket mixes up brake pedal with gas
-
Two workers in the Indian state of Assam were approaching a power pole in
an backhoe loader bucket on November 23. Unfortunately, the driver
accidentally h...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment