Kocha wa Mchester City, Pep Guardiola akiwa mnyonge baada ya timu yake kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao ya Spurs yamefungwa na Aleksandar Kolarov na Dele Alli, wakati Erik Lamela alikosa penalti iliyookolewa na kipa wa Man City, Claudio Bravo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA fines Nuggets coach David Adelman $35K for erupting at officials,
ejection in loss to Rockets
-
David Adelman charged at an official and screamed, “You are f***ing
terrible, man!” loud enough to be heard clearly on the broadcast on
Saturday night.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment