Beki wa Barcelona, Gerard Pique (kushoto) akishangilia na Luis Suarez baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Borussia Monchengladbach katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Borussia-Park mjini Monchengladbach. Bao lingine la Barca lilifungwa na Arda Turan, wakati la Borussia Monchengladbach lilifungwa na Thorgan Hazard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FIFA reveal their team of the year with just THREE Premier League players
included while two England stars make cut ahead of next summer's World Cup
-
FIFA have named just three Premier League stars in their team of the year
as part of their Best Awards.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment