Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis glamour girl Genie Bouchard sets pulses racing with stunning
vacation snaps after retiring at age 31
-
At the end of the trip, Bouchard posted a series of stunning snaps, proving
that despite not being at the top level of tennis any more, she is still
workin...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment