Winga Julian Green (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia hat-trick Bayern Munich katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Inter Milan mjini Charlotte, North Carolina, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Franck Ribery, wakati Mauro Icardi aliifungia Inter Milan bao la kufutia machozi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McErlean and Armstrong secure M-Sport WRC drives
-
Motorsport Ireland Academy duo Josh McErlean and Jon Armstrong will drive
for M-Sport in the World Rally Championship in 2026.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment