Mshambuliaji wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Manisipaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Toby Alderweireld, Michy Batshuayi naYannick Carrasco na Ubelgiji inakwenda Robo Fainali ambako itakutana na Wales PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michigan's investigation into Sherrone Moore scandal could lead to more
firings, president admits in bombshell statement to students
-
Speaking from his office in a video message posted online, the school's
interim president opened up on the 'challenging time' that has seen the
former Wolv...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment