Wachezaji wa England kutoka kushoto Dele Alli, Chris Smalling na Wayne Rooney wakiwa wanyonge baada ya kufungwa bao la pili wakilala 2-1 mbele ya Iceland katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa na kutolewa. England ilitangulia kwa bao la penalti la Nahodha Rooney dakika ya nne baada ya raheem Sterling kuangushwa kwenye boksi na kipa Hannes Halldorsson, kabla ya Ragnar Sigurdsson kuisawazishia Iceland dakika mbili baadaye na Kolbeinn Sigthorsson kufunga la pili dakika ya 18 na sasa watamenyana na wenyeji Ufaransa katika Robo Fainali, huku Three Lions wakiendeleza rekodi yao ya kutoshinda mechi ya mtoano tangu Euro 2006 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment