Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment