Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akikimbia kushangilia baada ya kuifungia England bao dakika ya tatu akiichezea mara ya kwanza timu ya taifa ya wakubwa katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Australia kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Light, Sunderland. Bao lingine la England limefungwa na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 55, wakati la wageni limefungwa na nyota wa Tottenham, Eric Dier aliyemfunga kipa wake, Fraser Forster dakika ya 75 katika harakati za kuokoa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FIFA reveal their team of the year with just THREE Premier League players
included while two England stars make cut ahead of next summer's World Cup
-
FIFA have named just three Premier League stars in their team of the year
as part of their Best Awards.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment