Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd angry as Morocco rejected Mazraoui request
-
Manchester United are angry with the Moroccan FA for rejecting their plea
for Noussair Mazraoui to play in Monday's draw with Bournemouth.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment