Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment