Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Could the Bears move to... Northwest Indiana?
-
In today's edition: The Bears could move to Indiana, Alcaraz splits with
his coach, Anthony Joshua's "license to kill," the World Cup's record $50
million ...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment