Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justice secretary faces no confidence vote in grooming gangs row
-
Opposition parties have accused Angela Constance of misrepresenting the
position of a leading expert on grooming gangs.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment