Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham hierarchy 'throw their backing behind Thomas Frank' after dire
display against Nottingham Forest
-
The visitors were well off the standard needed to overcome their hosts at
the City Ground, after initially falling behind due to a calamitous mistake
by yo...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment