Makocha wa Simba SC wakati wa michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mwaka 1993, timu hiyo ikifika fainali na kuweka rekodi ya timu pekee ya kuwahi kucheza fainali ya Kombe la Afrika; Alhaj Abdallah Athumani Seif 'King Kibaden' (katikati), Msaidizi wake, Etenneh Eshete (kulia) na Daktari Msemakweli (kushoto). Kibaden pia ana rekodi ya kufunga mabao matatu peke yake katika mechi dhidi mahasimu Yanga, SImba ikishinda 6-0 Julai 19, mwaka 1977 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment