Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC lose Commonwealth Games rights after over 70 years - as TNT outbid
broadcaster to show Glasgow 2026
-
The BBC had been the principal partner of the Commonwealth Games since
1954, having provided free-to-air coverage for 18 consecutive editions of
the multi-...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment