KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment