PAZIA la msimu mpya wa kisoka Zanzibar limepenuliwa jana kwa mchezo wa Ngao ya Jamii, KMKM mabingwa wa Ligi Kuu wakiwachama washindi wa FA Cup, Kipanga 1-0 bao pekee la Salum Akida dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Vote for your Sports Personality of the Year
-
Vote for your Sports Personality of the Year and Team of the Year.
19 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment