WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Former Man United midfielder Paul Ince compares Matheus Cunha to club
legend after Brazilian's stellar performance in thriller 4-4 draw with
Bournemouth
-
Cunha, signed in the summer for a fee of £62.5million from Wolves, enjoyed
arguably his best performance in a United shirt on Monday night in his
side's th...
9 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment