Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Southampton dakika za 28, 57 na 68 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Manchester City Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo. Bao lingine la Watakatifu limefungwa na Shane Long dakika ya 25, wakati ya City yamefungwa na Mnigeria Kelechi Promise Iheanacho dakika za 44 na 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday boss HENRIK PEDERSEN: How he motivates a squad that
wasn't being paid and has only eight fit senior players, his chats with
Dejphon Chansiri and why there's 'light at the end of the tunnel'
-
For the manager with the toughest gig in football, there are some
blessings. One of them is the proximity of Sheffield to the Peak District -
nothing swall...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment