Wachezaji wa Wolfsburg wakisherehekea ushindi wa taji la Super la Ujerumani baada ya kuifunga Bayern Munich kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1, bao la Bayern likifungwa na Arjen Robben na Wolfsburg wakisawazisha kupitia kwa Nicklas Bendtner. Penalti za washindi zilifungwa na Rodriguez, De Bruyne, Schurrle, Kruse na Bendtner wakati za BayernSCORED - Vidal, Bayern zilifungwa na Alonso, Robben, Lahm na Costa huku Alonso akikosa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 charged with 2nd-degree murder in St. Patrick's Day slaying of Mexican
citizen in North End
-
Officers were called to Pritchard Avenue, between Charles and Salter
streets, where they found Diego Moscoza, 28, lying dead on the ground on
March 17, acc...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment