Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akimtoka beki wa Stuttgart ya katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mercedes Benz Arena mjini Stuttgart, Ujerumani jana. Wenyeji walishinda 4-2, mabao yao yakifungwa na Daniel Ginczek mawili, Filip Kostic na Daniel Didavi wakati ya City yalifungwa na Kelechi Iheanacho na Edin Dzeko PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England on brink of quickest Ashes surrender since 1921 as Pat Cummins and
Nathan Lyon put Australia on verge of victory
-
LAWRENCE BOOTH: Set a near-impossible 435 to prevent Australia from going
3-0 with two to play, and retaining the urn that has been theirs since
2017-18, E...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment