• HABARI MPYA

    Thursday, June 19, 2014

    KOCHA URUGUAY AFURAHIA MAENDELEO YA SUAREZ KUELEKEA MECHI NA ENGLAND KESHO, LAKINI...

    KOCHA wa Uruguay, Oscar Tabarez amesema Luis Suarez anaendelea kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji, lakini amekubali kwamba hatacheza kwa ubora ule aliokuwa nao katika Ligi Kuu ya England.
    Mshambuliaji huyo wa Liverpool amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya goti tangu kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia, lakini baada ya kipigo cha kushitua kutoka kwa Costa Rica anatarajiwa kurudi uwanjani dhidi ya Three Lions kesho.
    Tabarez amegoma kuthibitisha iwapo atamuanzisha au la mkali huyo wa mabao.
    Msisimko: Oscar Tabarez amegoma kusema kama atamuanzisha au la Luis Suarez dhidi ya England kesho
    Recovering: The striker may start in the crucial World Cup Group D clash, despite the knee problem
    Anaendelea vizuri: Goti la Suarez lililofanyiwa upasuaji siku chache kabla ya Kombe la Dunia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA URUGUAY AFURAHIA MAENDELEO YA SUAREZ KUELEKEA MECHI NA ENGLAND KESHO, LAKINI... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top