Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
Aussie cricket star Cameron Green is SAVAGED for Ashes dismissal just hours
after making IPL history
-
Aussie all-rounder Cameron Green was sold for over $4million at the IPL
auction - but his next batting innings will have his new team nervous.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment