MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014.
Why 2025 feels like NFL 'snow globe's been shaken'
-
The Kansas City Chiefs have made an early exit from the NFL play-off race,
leaving the road to the Super Bowl open. Who are the pretenders to their
throne?
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment