Pati la Ushindi; Jake Livermore (wa pili kulia) akishangilia baada ya kuifungia Hull City bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa KC. Mabao mengine yalifungwa na Meyler dakika ya 72 na Skrtel wa Liverpool akajifunga dakika ya 88, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard dakika ya 27. CHINI; Gerrard akishangilia bao lake na picha inayofuatia ni mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez (kushoto) akipiga mpira mbele ya beki wa Hull City.
Head century drives England closer to Ashes defeat
-
England are pushed towards the precipice of the fastest Ashes series defeat
in more than 100 years as a Travis Head century maintains Australia's grip
on t...
1 hour ago





.png)
0 comments:
Post a Comment