MSHAMBULIAJI wa kike wa kimataifa wa Tanzania, Clara Cleitus Luvanga (19) anayechezea klabu ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia amesema aliumia sana kushutumiwa yeye ni mwanaume kiasi ilimuathiri Kisaikolojia na kushindwa kabisa kucheza wakati huo hadi akaondolewa timu ya taifa ya taifa.
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
20 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment