KIUNGO mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
Excruciating moment rapper Ja Rule smashes golf ball straight into crowd at
Derek Jeter's charity tournament
-
Remarkable footage, captured from just meters away, shows Ja Rule teeing
off with people surrounding the tee box in the Bahamas.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment