BONDIA Suleiman Kidunda juzi alipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Erick Tshimanga Katompa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kutwaa ubingwa wa WBF Intercontinental uzito wa Super Middle katika pambano lililofanyika Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Katika mapambano ya utangulizi,mkongwe Shaaban Kaoneka alimchapa kwa Knockout Karim Mandonga.
Aidha,George Bonabucha alimchapa Yusuph Ally wa Malawi kwa pointi.
Naye mwanamuziki aliyehamia kwenye ndondi,Khalid Chokoraa alitoka droo na Chiddy Benga
Naye Ezra Paul alimchapa Shaffi Mohamed kwa Knockout.
Blakes' 17 points ease No. 13 Vanderbilt women past Albany
-
Mikayla Blakes extended her double-digit scoring streak to 30 games and
finished with 17 points and six steals as No. 13 Vanderbilt pulled away
from Albany...
31 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment