MABINGWA wa Tanzania, Simba SC leo wametoa sare ya 2-2 na wenyeji, FAR Rabat katika mchezo wa kirafiki leo Jijini Rabat nchini Morocco.
Mabao ya Simba yamefungwa na viungo Hassan Dilunga dakika ya 54 na Papa Msenegal Ousmane Sakho dakika ya 81 baada ya FAR Rabat kutangulia kwa mabao ya Mohsinne Abba dakika ya 14 na ya 26.
Simba SC imeweka kambi Rabat kwa zaidi ya wiki sasa ikijiandaa na msimu mpya, lengo lao kuendeleza mafanikio yao yaliyodumu kwa misimu minne iliyopita.
Portuguese GP to return to F1 calendar in 2027
-
Portugal will return to the F1 calendar in 2027 and 2028, with a race held
at the Algarve International Circuit near Portimao.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment