UONGOZI WA YANGA SC WAKANA MPANGO WA KUFANYA MAANDAMANO, KUKATA RUFAA KUPINGA ADHABU YA MWAKALEBELA
YANGA SC imekana barua inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai klabu hiyo imeomba kuandamana kupinga uonevu wanaofanyiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Pamoja na hayo, Yanga SC itakata rufaa kupinga adhabu ya kufungiwa kwa Makamu wake Mwenyekiti, Frederick Mwakalebela.
Item Reviewed: UONGOZI WA YANGA SC WAKANA MPANGO WA KUFANYA MAANDAMANO, KUKATA RUFAA KUPINGA ADHABU YA MWAKALEBELA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Spurs open to selling forward Johnson
-
Tottenham's Europa League final match-winner Brennan Johnson is facing an
uncertain future at the club amid growing Premier League interest in the
attacker.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment