Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Snicko needs to be sacked' - Ashes controversy continues
-
Players' distrust of 'Snicko' grows as controversy continues with the
dismissal of Jamie Smith in the Adelaide Ashes Test.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment