TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
How many points did Victor Wembanyama score? Spurs vs. Hawks stats
-
Victor Wembanyama led the Spurs in points and rebounds despite coming off
the bench in the victory over the Hawks.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment