Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary undefeated boxing star Terence Crawford makes stunning RETIREMENT
decision: 'Nothing else left to prove'
-
The American, a five-weight world champion, won all 42 fights of his
professional fights and cemented his place among the greats of his
generation with vi...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment